Wanaoongoza wasipofanya wajibu wao wananchi watajifunza wapi?

Dar Es Salaam. Novemba 13, 2022.  Mch. Dkt. Peter Bujari


Ni jioni ya jumapili mchana nikiwa jijini Accra nchini Ghana, tarehe 6 Novemba nikijiandaa kuwasilisha mada kwenye mkutano wa kimataifa unaojadili maswala ya uwekezaji katika Sekta ya afya  hususani huduma za Mama na mtoto. Mada yangu ilikuwa namna Tanzania inavyofanya vizuri katika ufadhiri wa sekta ya afya. Shauku yangu na hamu iliiingia simanzi aliponiuliza mwenzangu kutoka Kenya kama nilikuwa na taarifa za ndege iliyoanguka?

Sambaza kwenye mitandao mingine
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on email
Share on telegram

Dakika chache baadae nilitumiwa picha iliyoonyesha ndege ikiwa majini na ikiwa inavutwa kwa Kamba na wananchi waliojipanga mstari mrefu. Rafiki yangu mmoja alinitonesha pale aliponiuliza kwa kingereza kuwa “ Nchi kama yenu hata winchi hamna kuvuta ndege mnatumia Kamba”. Moyo wangu ulikufa ganzi na nilishindwa cha kujibu, nikamwambia kuwa ningefuatilia, pengine ni mambo ya mitandaoni kutengeneza picha, binafsi sikuamini kama ndege inavutwa kwa Kamba.

Pamoja na kuwa kuna ajali nyingi zimetokea miaka ya nyuma, naomba kurejea ajali mbili ambazo kama nchi zinatuvua nguo na kuonyesha kuwa wanaoongoza ama hawajui ama hawafanyi wajibu wao.  

Mbaya Zaidi binafsi sijaridhika na hatua zinazochukuliwa na wanaoongoza katika mambo haya na ndiyo sababu ya kuandika Makala hii.

May 21, 1996 nilikuwa jijini Mwanza nikijiandaa Kwenda chuo kikuu pale ambapo meli ya MV Bukoba iliyokuwa na uwezo wa kubeba watu 430 ilipoua watu karibu watu 1,000 zaidi ya mara mbili ( Kwa mujibu wa Wikipedia). Taarifa zinasema daraja la kwanza na la pili zilionyesha kuwa meli ilibeba abiria 443 lakini daraja la tatu hawakujulikana abilia waliokuwemo. Mtaalamu mshauri wa mambo ya majini Joseph Muguthi aliyefanya uchunguzi alisema “ilikuwa ni ajali inayosubiriwa kutokea” kwa maana taratibu za kiusalama zote hazikuzingatiwa akishutumu serikali kuwa iliajili watumishi wasio na ujuzi stahiki. Ukosefu wa vifaa vya uokozi na uokoaji, kiasi waokoaji kutoka Afrika ya Kusini walilazimika kufika Tanzania. Swali langu ni kuwa Je wanaoongoza nchi hii walijifunza nini katika janga lile na wakaweka mikakati gani?

Miaka 27 baadae ndege mali ya Precision Air imelazimika kutua ndani ya ziwa Victoria, umbali kati ya mita 100- 500 na kuwa ilizunguka angani kati ya Mjini Bukoba, wilaya za Muleba na Misenyi kwa takriba ni nusu saa. Ajabu ni kuwa ndege ilipoanguka hakukuwa na uokozi wa kitaalamu isipokuwa wananchi wa kawaida na wavuvi kama ilivyokuwa miaka ishirini na saba iliyopita. Je wanaoongoza wanajua wanachokifanya? Je wanajua wajibu wao? Na kama hawajui wajibu wao, wananchi watajifunza wapi?.

Wataalamu wa uongozi kama Philipe Joubet Mwanzilishi na mkurugenzi wa “Earth on board” na wengine husisitiza kuwa viongozi  wanahitaji kuwa na malengo ya muda murefu ili kuruhusu ubunifu na kuongeza ufanisi katika kazi. Bwana Joubet anasema ubunifu siyo mpango wa Mungu, bali huja kwa kuwa na lengo la muda murefu. Je Mipango ya muda murefu ya viongozi wetu katika majanga na uokoaji ni ipi?. Bahati mbaya Tanzania tumeamini katika viongozi wa-kisiasa ambao malengo yao ni kushinda uchaguzi ujao. Kwa uchambuzi wangu, viongozi hawajajifunza kwa miongo mitatu, je tutaendelea hivi mpaka lini?. Nashauri viongozi waliopewa dhamana wajitathimini juu ya uongozi wao na wawajibike. Vinginevyo hakutakuwa na mabadiliko yoyote.

Wasiliana nasi bujari@peterbujari.com

118 thoughts on “<strong>Wanaoongoza wasipofanya wajibu wao wananchi watajifunza wapi?</strong>”

  1. You’ve written terrific content on this topic, which goes to show how knowledgable you are on this subject. I happen to cover about Coupon Codes on my personal blog Webemail24 and would appreciate some feedback. Thank you and keep posting good stuff!

  2. This is quality work regarding the topic! I guess I’ll have to bookmark this page. See my website Seoranko for content about Search Engine Optimization and I hope it gets your seal of approval, too!

  3. أنابيب GRP في العراق تتخصص شركة إيليت بايب في تصنيع أنابيب البلاستيك المدعمة بالزجاج (GRP)، وتوفير حلول من الدرجة الأولى تلبي مجموعة متنوعة من الاحتياجات الصناعية. تشتهر أنابيب GRP لدينا بقوتها ومتانتها ومقاومتها للظروف البيئية القاسية. تم تصميمها لتحمل الضغوط العالية والمواد الكيميائية القوية، مما يجعلها خيارًا ممتازًا لتوزيع المياه، وأنظمة الصرف الصحي، والتطبيقات الصناعية. من خلال الاستفادة من التكنولوجيا المتقدمة والمواد عالية الجودة، أثبتت شركة إيليت بايب نفسها كمزود رائد لأنابيب GRP في العراق. تميزنا بالتفوق والموثوقية يجعلنا واحدة من المصانع الرائدة في البلاد. استكشف عروضنا على elitepipeiraq.com.

  4. So you may be experiencing stress- induced depression even if you don t suffer from a negative or anxious state of mind during the rest of your day [url=https://fastpriligy.top/]priligy amazon canada[/url]

  5. Metformin attracted cancer researchers attention when it was found to be associated with a lower risk of breast cancer risk in observational studies of diabetic patients, Dr [url=https://fastpriligy.top/]priligy dapoxetine 30mg[/url] methylcobalamin benadryl and weight gain The best advice I have received from U

  6. Its like you read my mind! You appear to grasp so much approximately this, such as you wrote the ebook in it or something.
    I believe that you could do with some p.c. to pressure the message house a
    little bit, however instead of that, this is
    great blog. An excellent read. I’ll definitely be back.

  7. Hi there terrific website! Does running a blog like this require a lot
    of work? I have no knowledge of programming but I had been hoping to start my own blog soon. Anyhow, if
    you have any ideas or techniques for new blog owners please share.
    I know this is off subject nevertheless I just wanted to ask.
    Many thanks!

  8. certainly like your web site however you need to take a look at
    the spelling on quite a few of your posts. A number of them are rife with spelling problems and I find it very bothersome to inform the reality nevertheless I’ll
    surely come back again.

  9. It’s appropriate time to make some plans for the future and
    it is time to be happy. I’ve read this post and if I could I wish to suggest you few interesting things
    or advice. Perhaps you could write next articles
    referring to this article. I desire to read even more things about it!

  10. Do you mind if I quote a few of your articles as long as I provide
    credit and sources back to your weblog? My blog is in the exact same area of interest as yours and my visitors would really benefit from a lot of the
    information you provide here. Please let me know if this alright with you.
    Many thanks!

  11. Woah! I’m really digging the template/theme of this website.
    It’s simple, yet effective. A lot of times it’s difficult to get that “perfect balance” between superb usability
    and appearance. I must say you’ve done a excellent job with
    this. In addition, the blog loads extremely quick for me on Firefox.
    Excellent Blog!

  12. Thank you for your sharing. I am worried that I lack creative ideas. It is your article that makes me full of hope. Thank you. But, I have a question, can you help me?

  13. [url=http://tiflos.ru/content/pags/igru_so_slovami___treniruem_um_i_poluchaem_udovolstvie.html]http://tiflos.ru/content/pags/igru_so_slovami___treniruem_um_i_poluchaem_udovolstvie.html[/url] скачать езду на машинах на пк

  14. A code promo 1xBet est un moyen populaire pour les parieurs d’obtenir des bonus exclusifs sur la plateforme de paris en ligne 1xBet. Ces codes promotionnels offrent divers avantages tels que des bonus de dépôt, des paris gratuits, et des réductions spéciales pour les nouveaux joueurs ainsi que les utilisateurs réguliers.code promo 1xbet burundi

  15. Добро пожаловать в Клубника Казино – место, где ваши азартные мечты становятся реальностью. В Клубника Казино вы найдете исключительный выбор слотов, настольных игр и живых дилеров, готовых подарить вам незабываемые моменты. Мы гарантируем безопасность, честность и прозрачность всех игровых процессов.

    Почему стоит выбрать https://clubnika-casinoeuphoria.lol/? Мы предлагаем бесконечные бонусы, акции и турниры, которые дают шанс увеличить ваши выигрыши. В Клубника Казино вы можете быть уверены, что любые вопросы будут решены в кратчайшие сроки благодаря круглосуточной поддержке.

    Когда лучше всего присоединиться к Клубника Казино? Присоединяйтесь прямо сейчас и получите бонусы, которые помогут вам быстро начать зарабатывать большие выигрыши. В Клубника Казино вас ждут:

    Щедрые бонусы для новичков и регулярные фриспины.
    Турниры с крупными призами и невероятными возможностями для выигрыша.
    Обновления игр каждый месяц, чтобы не было скучно.

    В Клубника Казино вы найдете все, что нужно для отличной игры и крупных выигрышей.

  16. [url=https://timelady.ru/1368-onlayn-igry.html]https://timelady.ru/1368-onlayn-igry.html[/url] пасьянс дамы кувырком играть бесплатно и без регистрации во весь экран на русском

  17. Clubnika Casino is your gateway to a world of exciting games and wins. At Clubnika Casino, you’ll find the most popular games, including slots, roulette, poker, and live games with real dealers. Every game at our casino is a chance to become a winner, and our security and transparency guarantees will ensure you full comfort.

    Why should you choose https://clubnika-casinowave.space/ for your gaming experience? By joining Clubnika Casino, you’ll get access to generous bonuses and unique promotions, enhancing your luck. At Clubnika Casino, we guarantee instant payouts and provide quality support to resolve any issues at any time.

    When is the best time to start playing at Clubnika Casino? Join right now and receive bonuses to get started. Here’s what awaits you at Clubnika Casino:

    Generous bonuses and free spins for new players.
    Regular tournaments and promotions with large cash prizes.
    Every month, new exciting games are added to Clubnika Casino to keep you entertained.

    Clubnika Casino is the place where everyone can find their luck.

  18. I am extremely impressed together with your writing abilities and also with the layout for your blog. Is that this a paid topic or did you modify it your self? Either way stay up the nice quality writing, it is uncommon to peer a nice weblog like this one nowadays!

  19. I was wondering if you ever considered changing the page layout of your blog? Its very well written; I love what youve got to say. But maybe you could a little more in the way of content so people could connect with it better. Youve got an awful lot of text for only having one or two pictures. Maybe you could space it out better?

  20. Its like you read my mind! You appear to know a lot about this, like you wrote the book in it or something. I think that you can do with some pics to drive the message home a little bit, but other than that, this is wonderful blog. A fantastic read. I’ll certainly be back.

  21. Hello folks!
    I came across a 110 great page that I think you should check out.
    This tool is packed with a lot of useful information that you might find helpful.
    It has everything you could possibly need, so be sure to give it a visit!
    [url=https://etruesports.com/2025/02/25/why-online-sports-betting-is-taking-over/]https://etruesports.com/2025/02/25/why-online-sports-betting-is-taking-over/[/url]

  22. Hello team!
    I came across a 110 great page that I think you should browse.
    This tool is packed with a lot of useful information that you might find helpful.
    It has everything you could possibly need, so be sure to give it a visit!
    [url=https://eyexcon.com/eye-tracking-technology-innovation-privacy-risks-and-the-future-of-surveillance/]https://eyexcon.com/eye-tracking-technology-innovation-privacy-risks-and-the-future-of-surveillance/[/url]

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *